Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Mnyika baaada ya Ushindi wa Kesi yake leo

Mnyika baaada ya Ushindi wa Kesi yake leo

Written By mpekuaji on Thursday, May 24, 2012 | 4:02:00 PM

 Mbunge wa Jimbo la Ubungo kwa Tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Mh. John Mnyika akiwa amebebwa juu juu na Wanachana wa Chama hicho pamoja na washabiki wake nje ya Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam leo mara baada ya kushinda kesi yake iliyokuwa ikimkabili kuhusiana na Ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
 Mnyika akipongezwa na Baadhi ya jamaa zake waliofika Mahakamani hapo.
 Wanachama wa Chadema pamoja na washabiki wa Mbunge wa Jimbo la Ubungo wakishangilia ushindi wa kesi ya Mbunge wao,Mh. John Mnyika.
 Askari Polisi wakihakikisha usalama upo wa kutosha katika njia walizokuwa wakipita wapenzi wa Chadema kusherehekea ushindi wa Mbunge wao.
Mh. Mnyika alipokuwa akiwasili Mahakamani leo asubuhi.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts