Meneja Masoko wa CFAO Motors Bw. Alfred Minja akiwavisha medali baadhi ya washindi wa mashindano ya kuogelea yaliyofanyika katika Shule ya Hopac iliyopo jijini Dar es Salaam.
Time Keepers wakihakikisha washindi wanapatikana kihalali.
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea wakichumpa kwenye maji.
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea wakichumpa kwenye maji.
Makocha, wazazi na wanamichezo wakisubiri kutajwa kwa washindi wa mashindano ya kuogelea yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa Juma.
Time Keepers waliosimamia shindano hilo wakipungia mashabiki.
Baadhi ya Mashabiki wa mchezo wa kuogelea waliohudhuria mashindano hayo.
Post your Comment


