Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » CFAO MOTORS YASAIDIA KUFANIKISHA MASHINDANO YA MCHEZO WA KUOGELEA TANZANIA (TSA).

CFAO MOTORS YASAIDIA KUFANIKISHA MASHINDANO YA MCHEZO WA KUOGELEA TANZANIA (TSA).

Written By mpekuaji on Monday, May 14, 2012 | 5:56:00 PM

Meneja Masoko wa CFAO Motors Bw. Alfred Minja akiwavisha medali  baadhi ya washindi wa mashindano ya kuogelea yaliyofanyika katika Shule ya Hopac iliyopo jijini Dar es Salaam.
Time Keepers wakihakikisha washindi wanapatikana kihalali.
 Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea wakichumpa kwenye maji.
Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea wakichumpa kwenye maji.
  Makocha, wazazi na wanamichezo wakisubiri kutajwa kwa washindi wa mashindano ya kuogelea yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa Juma.
 Time Keepers waliosimamia shindano hilo wakipungia mashabiki.
 Baadhi ya Mashabiki wa mchezo wa kuogelea waliohudhuria mashindano hayo.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts