Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » MBUNGE PROF MSOLLA NA AIRTEL WAZIPIGA JEKI SHULE ZA SEKONDARI KILOLO

MBUNGE PROF MSOLLA NA AIRTEL WAZIPIGA JEKI SHULE ZA SEKONDARI KILOLO

Written By mpekuaji on Friday, May 25, 2012 | 8:42:00 AM


Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof Peter Msolla kulia akimkabidhi mkuu wa shule ya sekondari Maria Consolata Udzungwa Bw Mufwalamagoha Kibasa msaada wa vitabu vilivyotolewa na kampuni ya simu ya Airtel katika jimbo hilo
 Prof Msolla akionyesha moja kati ya vitabu vya kiada vilivyotolewa na kampuni ya simu ya Airtel
Mbunge wa jimbo la Kilolo Prof Peter Msolla na mwakilishi wa Airtel mkoa wa Iringa Hildegrad Ntamuturano (kushoto) wakikabidhi msaada wa kompyuta kwa ajili ya shule ya sekondari Mazombe

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts