Home »
JAMII
» Mkutano Juu Ya Tabia Nchi Waendelea Bonn Ujerumani
Bi. Christiana Figeres, Executive Secretary wa United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC) akifungua mkutano wa kimataifa wa sayansi na taaluma wa mabadiliko ya tabia nchi, Mjini Bonn Ujerumani. Mbele Kulia, Bwana Alfonce Bikulamchi, Afisa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais akifuatilia kwa umakini ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Sayansi na Taaluma wa masuala ya mabadiliko ya Tabia Nchi unaondelea Mjini Bonn Ujerumani,
Advertisement
hapa