Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » AUNT LULU AIKIMBIA BONGO KUKWEPA MANENO

AUNT LULU AIKIMBIA BONGO KUKWEPA MANENO

Written By mpekuaji on Tuesday, August 28, 2012 | 10:51:00 AM


Lulu Mathias Semagongo ‘Aunt Lulu’.
KATIKA hali ya kushangaza, Mtangazaji maarufu Bongo, Lulu Mathias Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa atatimka nchini kwenda kuishi kusikojulikana.

Akizungumza na mwandishi  wetu  jijini Dar, Aunt Lulu alifunguka kuwa ameamua kukimbia mji kwani amechoshwa na manenomaneno ya walimwengu jijini.


“Nimechoshwa kwa kweli na kwa kuwa mipango yangu ya kuchomoka imetimia, acha nitimke Bango angalau nikapumzike kidogo nje ya hapa,”
alisema Aunt Lulu pasipo kutaja anakotimkia.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts