Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » RAY C AFUNGUKA: "NILIKIMBILIA KENYA KWA SABABU NINA MASHABIKI WENGI KULIKO TANZANIA"

RAY C AFUNGUKA: "NILIKIMBILIA KENYA KWA SABABU NINA MASHABIKI WENGI KULIKO TANZANIA"

Written By mpekuaji on Tuesday, August 28, 2012 | 7:27:00 PM


SIKU chache baada kukanyaga ardhi ya Bongo kutoka uhamishoni nchini Kenya, nyota wa muziki wa kizazi kipya Afrika mashariki Rehema Charamila amesema kuwa hajarejea nchini kusaka wanaume.
 
Akizungumza juzikati jijini Dar Ray C amefunguka kuwa hakuja Tanzania kutafuta Bwana wa Kuolewa nae kama watu wanavyovumisha mitaani isipokuwa amefanya hivyo kwa ajiri ya mapumziko na kazi pia.

"Unajua mimi niliamua kuhamia Kenya baada ya kuona kuwa ninsupport kubwa kwa Mashabiki wa huko kuliko hapa Tanzania hivyo nikaamua kwenda kuwapa kile wanachokipenda na pia kujaribu kukuza muziki wangu.

Katika kusibitisha hilo hivi karibuni natarajia kuachia ngoma yangu mpya amabayo nimeipa jina 'Moyo Waniuma' alisema Ray C.

MPAKA  SASA RAY C  HAJAZUNGUMZA LOLOTE  JUU YA  MADAI  YA  KUTOA  MKANDA  WA X  AKIWA  HUKO  KENYA

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts