Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » JE FIESTA YA DAR ITAMLETA NANI KATI YA RICK ROSS, DRAKE, T.I NA SNOOP DOGGY?.......UNGANA NASI

JE FIESTA YA DAR ITAMLETA NANI KATI YA RICK ROSS, DRAKE, T.I NA SNOOP DOGGY?.......UNGANA NASI

Written By mpekuaji on Thursday, September 27, 2012 | 3:27:00 PM


Rick Ross
Drake
T.I
Snoop
Rick Ross, Drake, T.I na Snoop ndio majina yaliyotajwa leo hii kama fumbo la msanii mkubwa wa kimataifa atakaekuja Tanzania kwa ajili ya Fiesta 2012 ya Dar es salaam inayotegemewa kuchukua nafasi yake siku chache zijazo.

Hayo yamesikika kupitia campaign inayoendelea muda huu kuanzia asubuhi ya leo kupitia Clouds fm, inayohamasisha watu washiriki kubashiri ni msanii gani kati ya hawa atakae kuja kuperform katika Fiesta ya Dar.

Jibu la swali hili litatolewa kupitia XXL ya leo Sept 27, 2012 mishale ya saa tisa za alasiri. Fuatilia Clouds fm ili kama umeshiriki uweze kujua kama utakua umetoa jibu sahihi basi utakua kati ya washindi watakaojishindia tiketi ya kwenda kushuhudia show hiyo.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts