Akipiga stori na mpekuzi jijini Dar es Salaam, Jini Kabula alisema bado ana hamu ya kuzaa na mpenzi wake huyo.
“Haikuwa riziki, ilikuwa bahati mbaya, dhumuni langu lilikuwa ni kuzaa na Bushoke kwa sababu nampenda, hivyo Mungu akinijalia tena, nitazaa naye tu. Natamani sana niwe mama wa mtoto wake,” alisema Jini Kabula.
Post your Comment


