Kuna tetesi kuwa Ray C kwa sasa kawa teja la kutupwa na kwa sasa amelazwa hospitali moja huko mbulu.
Dar kawakimbia waandishi wa habari. Tetesi zaidi zikipatikana zitaletwa kwenu wanajamvi.
Uteja wake umemfikisha mahala pa kuwa akikutembelea nyumbani kwako, hasa ndugu lazima aondoke (aibe) na chochote hata kama ni ndala, kama ilivyo kawaida ya mateja wengine.....
HII NDO RIPOTI YA MTANDAO WA MSN
Post your Comment




