Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » LINAH MHAYA AYAAGA MASHINDAO YA EBSS

LINAH MHAYA AYAAGA MASHINDAO YA EBSS

Written By mpekuaji on Thursday, October 18, 2012 | 11:37:00 AM


Madam Ritha akitoa maoni yake juu ya mshiriki aliyekua juu ya jukwaa

Jumapili ya tarehe 15, October 2012 mshiriki mmoja wa EBSS, Linias Mhaya aliyaaga mashindano na hivyo kubaki washiriki tisa tu.

Washiriki tisa waliobakia wamegawanywa katika makundi matatu na kila Jaji kapewa washiriki watatu watakaokuwa chini ya usimamizi wake, majaji wanatakiwa kuwapa
maelekezo kuhusu kuimba na kuwachagulia nyimbo za kuimba.

Godfrey Kato akiingia katika jukwaa
Husna Nassor akiimba jukwaani

Menynah Atick akiimba mbele ya majaji na watazamaji
Salma Yusuph akipiga gitaa

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts