Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Wanafunzi wa chuo kikuu cha cha Dar es salaam Wagoma

Wanafunzi wa chuo kikuu cha cha Dar es salaam Wagoma

Written By Vuvuzela on Tuesday, May 31, 2016 | 2:14:00 PM


Wanafunzi wa chuo kikuu cha cha Dar es salaam mpaka sasa wamegoma wakiishinikiza bodi ya mikopo kutoa fedha kwa ajili ya kujikimu.
 
Makamu wa Rais wa serikali ya wanafunzi, Shamila Mshengema amesema mgomo huo ni matokeo ya taarifa zisizoeleweka zilizo kuwa zikitolewa na bodi juu ya lini fedha hizo zitatolewa.
 
Kwa kawaida pesa ya chakula huingiziwa kila baada ya siku 60 na mpaka sasa yapata wiki mbili pesa hiyo haijaingizwa
 
Mgomo huo unakuja zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya Rais Magufuli Kuzulu chuo hicho kwa ajili ya uzinduzi wa jengo la Maktaba.


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts