Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Mkoani Arusha

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Mkoani Arusha

Written By Vuvuzela on Monday, May 30, 2016 | 6:12:00 PM



Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe (kulia) na Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix  (katikati)  baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha May 30, 2016 ambako May 31, 2016 anatarajiwa kufungua mkutano wa  Kimataifa wa ‘Africa  World Heritage’ kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha -AICC.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts