Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Hemed adai hajawahi kuwa na mahusiano ya wasanii wa filamu lakini ‘amewachapa’ wengi

Hemed adai hajawahi kuwa na mahusiano ya wasanii wa filamu lakini ‘amewachapa’ wengi

Written By Vuvuzela on Tuesday, June 21, 2016 | 10:36:00 AM


Mwigizaji huyo ni miongoni mwa wasanii wa filamu mwenye mvuto kutoka na kujiremba kwake pamoja uvaaji.

Akiongea nasi hivi karibuni, Hemed aliulizwa kuhusu kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu.“Ngoja niseme hili sijawahi kuwa kwenye mahusiano na Mastaa, ila kuwachapa ni wengi sana” Alisema.

Katika hatua nyingine, Hemed alisema hapendi kufanya filamu ila pesa ndio inamfanya kuwa mwigizaji.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts