Written By mpekuaji on Tuesday, May 22, 2012 | 10:22:00 AM
Askari wa usalama barabarani mjini Iringa wakiwa wamebeba moja kati ya maiti za ajali ya Taxi na Fuso iliyotokea eneo la kituo cha Mafuta Eso kwenye barabara kuu ya Iringa -Mbeya asubuhi hii Wananchi wakitazama Fuso ambalo liligongana na Taxi hiyo Miili ya wafanyakazi wa barabara Iringa ambao walikufa katika ajali hiyo Wananchi na polisi wakisaidiana kuinasua miili ya watu watatu walio kufa katika ajali Hivi ndivyo Fuso hilo lilivyokuwa baada ya ajali
Ubongo ukiwa umetapakaa eneo la ajali Mwili wa dereva Taxi ukiwa bado kutolewaAjali mbaya imetokea mjini Iringa asubuhi hii na kusababisha vifo vya watu watatu papo hapo huku abiria waliokuwemo katika fuso wakinusurika katika ajali hiyo .