Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Ajari Mbaya Yatokea Iringa

Ajari Mbaya Yatokea Iringa

Written By mpekuaji on Tuesday, May 22, 2012 | 10:22:00 AM

Askari wa usalama barabarani mjini Iringa wakiwa wamebeba moja kati ya maiti za ajali ya Taxi na Fuso iliyotokea eneo la kituo cha Mafuta Eso kwenye barabara kuu ya Iringa -Mbeya asubuhi hii
Wananchi wakitazama Fuso ambalo liligongana na Taxi hiyo
Miili ya wafanyakazi wa barabara Iringa ambao walikufa katika ajali hiyo
Wananchi na polisi wakisaidiana kuinasua miili ya watu watatu walio kufa katika ajali
Hivi ndivyo Fuso hilo lilivyokuwa baada ya ajali

Ubongo ukiwa umetapakaa eneo la ajali

Mwili wa dereva Taxi ukiwa bado kutolewaAjali mbaya imetokea mjini Iringa asubuhi hii na kusababisha vifo vya watu watatu papo hapo huku abiria waliokuwemo katika fuso wakinusurika katika ajali hiyo .

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts