Wafanyabiashara ndogondogo wakiwauzia abiria waliopo katika mabasi kama walivyokutwa katika kituo cha mabasi ya mikoani mjini Dodoma vijana wengi mjini hapa wamekuwa wakijishughulisha katika shughuli mbalimbali za kujiingizia kipato ca kila na kupunguza wimbi la vijana wasiokuwa na kazi.
Post your Comment


