Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » MVUA KUBWA ZILIZONYESHA MJINI BUKOBA ZASABABISHA MAJI KUJAA MITAANI

MVUA KUBWA ZILIZONYESHA MJINI BUKOBA ZASABABISHA MAJI KUJAA MITAANI

Written By mpekuaji on Wednesday, May 16, 2012 | 9:39:00 AM

Nyumba ya mdau Bi Nesi wa Uswahili kwa mama Rujaka ikiwa imezingirwa na maji kutokana na mvua kubwa inayonyesha kwa mfurulizo mjini Bukoba mkoani Kagera kama itaendelea kunyesha huenda maafa makubwa yakatokea.

Nyingine ni makazi ya watu Eneo la Omukigusha na HAMUGEMBE kando kando ya mto kanoni.
hali iko hivyo maeneo ya Kashai matopeni, Kasalani, na Jamhuri  pamoja na maeneo ya Desare Pub na Hotel ya VICTORIUS.
Mwanafunzi akitoka shule akipita kwenye madimbwi ya maji yaliyotokana na mbua hiyo.
Mkazi wa mjini Bukoba akipita kwenye madibwi ya maji yaliyojaa katika mtaa mbalimbali mjini humo.

Maji yakiwa yamezingira vibanda mbalimbali vya biashara kama vinavyoonekana vikiwa vimezingirwa na maji.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts