Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Rais Kikwete arejea toka kwenye mkutano wa G-8 marekani

Rais Kikwete arejea toka kwenye mkutano wa G-8 marekani

Written By mpekuaji on Tuesday, May 22, 2012 | 8:31:00 AM

Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi baada ya Rais kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jana jioni, akitokea nchini Marekani ambapo alihudhuria mkutano wa G8.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama jana jioni  muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere akitokea nchini Marekani ambapo alishiriki katika mkutano wa G8.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts