Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira Dk. Terezya Huvisa. Akizungumza na Balozi wa Brazil, Nchini Tanzania, Comoro na Seychelles Bw. Francisco Carlos Joares Luz. Mazungumzo hayo yalihusu maandalizi ya Mkutano wa Kimataifa wa Rio +20. yalifanyika Mtaa wa Luthuli, Dar es Salaam.Picha na Ali Meja.
Post your Comment


