Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania Aagana na Spika Anne Makinda Baada Ya Kumaliza Muda Wake

Balozi wa Msumbiji Nchini Tanzania Aagana na Spika Anne Makinda Baada Ya Kumaliza Muda Wake

Written By mpekuaji on Thursday, June 7, 2012 | 6:28:00 PM

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimsikiliza kwa makini Balozi wa Msumbiji hapa Nchini Mhe. Amour Zacarias Kupela, wakati alipofika Ofisini kwake jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya kumuaga rasmi baada ya kumaliza muda wake nchini.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts