Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » AUNT EZEKIEL ABADILI DINI NA KUWA MUISLAM ILI KUITETEA NDOA YAKE INAYOTEGEMEWA KUFUNGWA MWEZI WA 11

AUNT EZEKIEL ABADILI DINI NA KUWA MUISLAM ILI KUITETEA NDOA YAKE INAYOTEGEMEWA KUFUNGWA MWEZI WA 11

Written By mpekuaji on Wednesday, August 22, 2012 | 2:09:00 AM



Muigizaji maarufu wa filamu nchini Aunt Ezekiel anatarajia kufunga ndoa mwezi wa 11 mwaka huu.

Muigizaji huyo ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuwa balozi wa Zuku Swahili Movies  tayari ameshavalishwa pete ya uchumba na mpenzi wake aitwaye Sunday.

Kutokana na hatua hiyo sasa muigizaji huyo amebadilisha dini na kuwa muislam na atakuwa akijulikana kama Rahma.

Sikiliza mahojiano mafupi aliyofanya na kipindi cha Take One cha Clouds TV hivi karibuni hapo chini.



Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts