Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » BELINA ALA SHAVU NONO....HIVI SASA NI BALOZI

BELINA ALA SHAVU NONO....HIVI SASA NI BALOZI

Written By mpekuaji on Thursday, August 16, 2012 | 10:00:00 AM


Mwanamitindo Belina Mgeni.

MWANAMITINDO mwenye mvuto Bongo, Belina Mgeni amelamba shavu la nguvu kutoka kwa kampuni kubwa ya nywele nchini kwa kusainishwa mkataba wa mwaka mmoja kuwa balozi wa kampuni hiyo.


‘Akisemezana’ na waandishi wetu, Belina alisema anamshukuru  Mungu kwa kupata shavu hilo ambapo sasa picha zake zitakuwa zikionekana katika mabango ya kampuni hiyo, pia atakuwa akisuka bure nywele kwa kipindi cha mwaka mmoja na kutumia bidhaa za kampuni hiyo kama balozi.


Aidha, mwanamitindo huyo alisema ataubeba ubalozi huo kwa umakini mkubwa  kwa sababu heshima waliyompa ni kubwa sana  kwa upande wa warembo  na wanamitindo wa hapa nchini.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts