|
Jamani hizi chabo ni balaa kwenye chumba cha mtihani |
 |
| Wakati mwingine yuko bize anaumiza kichwa darasani mwingine kiurahisi anahamisha tuuu..! |
 |
| Chabo kwa akina dadaz kwa pajaz.. |
 |
| Nani nwenye ujasiri wa kukusachi hadi huku...mmmh |
 |
| Dah kimenaswa.... |
 |
| Wale wa kanuni...leoleo.. |
 |
| Hata simu zilipo katazwa kuingia chumba cha mtihani vifaa vingine vya kielektoniki vilitumika... |
 |
| Ndiyo maana huko nchini japani wasimamizi wa mitihani huingia na kifaa maalumu cha kufanyia ukaguzi kugundua vifaa vya elektoniki kwa watahiniwa. |
Advertisement
hapa