Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » " IMANI ZA KISHIRIKINA" ZAMFANYA MAINDA AKATALIWE UKWENI ( MAMA RAY )

" IMANI ZA KISHIRIKINA" ZAMFANYA MAINDA AKATALIWE UKWENI ( MAMA RAY )

Written By mpekuaji on Wednesday, August 22, 2012 | 2:18:00 PM

Mwigizaji wa picha za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ anadaiwa kukataliwa ukweni na mkwewe wa kike anayefahamika kwa jina la Mama Kigosi au Mama Ray.

Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, mama Ray hampendi Mainda kiasi cha kutopenda kumuona akifika nyumbani kwake.

 



“Unajua mama Ray hampendi Mainda, aliwahi kumwambia Ray kuwa, asimuone msichana huyo nyumbani kwake kwani anahisi yeye ndiye anayumbisha maisha ya mwanaye,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kuipata habari  hii ,waandishi wetu walimtafuta  Mainda  ambaye  alikuwa  na haya:

"Jamani, jamani hivi ni nani kasema?, kwanza mimi sijawahi kwenda kwa mganga hata siku moja, nimeokoka na siwezi kufanya hivyo.

“Ninajua wanaoleta habari hizo ni Bongo Movies, sijui nimewakosea nini . Ray  ananipenda   mwenyewe  na sijawahi  tumia  dawa"

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts