Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » KOLETA AWALAUMU WASANII WA BONGO MOVIE KWA KUTOMJULIA HALI....

KOLETA AWALAUMU WASANII WA BONGO MOVIE KWA KUTOMJULIA HALI....

Written By mpekuaji on Thursday, August 16, 2012 | 1:34:00 PM

 

MWIGIZAJI wa longtime katika tasnia ya filamu Bongo, Coletha Raymond ‘Koleta’ juzikati ameibuka na kusema hajawaelewa baadhi ya wasanii wa Bongo Movie Club kwa kutokwenda kumjulia hali alipolazwa kwa siku tano katika Hospitali ya Kairuki, Dar akisumbuliwa na Kidole Tumbo ‘Appendix’ wakati kila siku wanahubiriana upendo miongoni mwao.

“Sijawaelewa kabisa Bongo Movie, mimi ni mwanachama, huwa nashirikiana nao vizuri wakati wa matatizo lakini yamenifika mimi eti wanadai wako ‘location’, wengine kambini, wale waliokuwa nje ya mkoa siwalaumu.”

Kwa upande mwingine, Koleta aliwashukuru wale waliokuwa bega kwa bega na yeye katika kipindi hicho wakiwemo wasanii wa Kundi la Kaole, wasanii wa Bongo Movie Club ambao ni Batuli, Devotha Mbaga, Herieth Chumila, Chiki Mchoma na Jacqueline Wolper.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts