Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » UNAZIJUA SURA ZA WASANII KABLA YA KUWA MASTAA?

UNAZIJUA SURA ZA WASANII KABLA YA KUWA MASTAA?

Written By mpekuaji on Sunday, August 12, 2012 | 12:32:00 AM


Waswahili wanasema hata mbuyu ulianza kama mchicha. 

Maisha mazuri waliyonayo mastaa hawa leo hii, hayakupatikana ndani ya siku,mwezi ama mwaka mmoja. Ni safari ndefu iliyokuwa na kila aina ya vikwazo na kukata tamaa.

Juhudi na vipaji vyao ndivyo vilivyowafanya leo hii wawe ‘soga za mjini’ na waonekane waking’aa.LAKINI  TUSISAHAU KUWA  BAADHI YAO WANAPENDEZA  KWA  KUJIUZA MITANDAONI


Hizi ni picha zinazowaonesha kabla hawajatoboa na kuwa nyota wa muziki.


1.Joseph Mbilinyi, mbunge wa Mbeya mjini na msanii wa Hip hop

2.Rehema Chalamila aka Ray C

3. Linah Sanga

4.Ambwene Yessaya aka AY

5. Diamond

6.Juacali na Nonini

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts