Mahakama kuu kitengo cha kazi imeutaka uongozi wa Chama cha Walimu Tanzania, CWT, kutoa taarifa ya kusitisha mgomo kwa wanachama wake mara moja, kulipa hasara iliyopatikana kutokana na mgomo pamoja na kuwafidia wanafunzi muda walioupoteza kwa kukosa masomo.
Henry Mabumo wa ITV anayo taarifa zaidi katika video iliyopachikwa hapa.
Advertisement
hapa