Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe akielekea kusoma Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa Fedha,2012-2012 Bungeni Jana Mjini Dodoma
Waziri wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe akisoma Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa Fedha,2012-2012.Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
Post your Comment


