Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » "NATAKA KULEWA" YA DIAMOND ITAKUWA HEWANI KESHO

"NATAKA KULEWA" YA DIAMOND ITAKUWA HEWANI KESHO

Written By mpekuaji on Sunday, October 28, 2012 | 2:39:00 PM


Diamond na Raqey wakichagua picha ya kutumia kwenye cover ya wimbo wake mpya
Baada ya miezi kadhaa ya ukimya bila track mpya hewani hatimaye staa wa ‘Mawazo’ Diamond Platnumz kesho anatarajia kuachia wimbo wake mpya.

Ngoma hiyo ameipa jina la ‘Nataka Kulewa’ ambayo imefanywa na producer wa AM Records, Manecky.
Kupitia website yake, Diamond ameshare kwa mashabiki wake picha za utengenezaji wa cover ya ngoma hiyo uliosiomiwa na Raqey Mohamed wa I-View Media kampuni ambayo inamsimamia.

Kuhusu mipango ya video aliyoifanyia usaili wa models wiki kadhaa zilizopita Raqey amesema bado wanashughulikia permit na hivi karibuni alikuwa Dubai kwaajili ya kuweka mambo sawa.

Hizi ni baadhi ya picha hizo.
Diamond na Raqey wakichagua picha ya kutumia kwenye cover ya wimbo wake mpyaRaqey na Martin KadindaRaqey na wengine wakiangalia picha zilizopigwaDiamond, Martin na wengine wakitathmini picha zilizopigwaCrew ya I-View MediaDiamond akijiandaa kwa photoshootMartin na Diamond kwenye poziIMG_0030IMG_0041IMG_0070IMG_0078IMG_0079

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts