Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » WATUHUMIWA WA UCHOMAJI MAKANISA MBAGALA WAPANDISHWA KIZIMBANI TENA

WATUHUMIWA WA UCHOMAJI MAKANISA MBAGALA WAPANDISHWA KIZIMBANI TENA

Written By mpekuaji on Monday, October 22, 2012 | 6:56:00 PM




WATUHUMIWA wa kuharibu na kuchoma moto makanisa huko Mbagala jijini Dar es Salaam, mapema leo wamefikishwa mbele ya Hakimu Binge Mashabala wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. 

Watuhumiwa hao watano wamesomewa mashtaka matano na Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, yanayowahusisha na njama za kutenda makosa, kuvunja majengo, uharibifu na wizi wa vifaa vya makanisa na kusabisha hasara ya milioni 550/=. 

Washitakiwa hao, Shabani Hamisi, Issa Abdullah, Kambi Haji, Hamadi Mahambo na Wajabali Julius, walikana makosa hayo na kesi kuahirishwa hadi Oktoba 30 mwaka huu.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts