Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » BREAKING NEWS: SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

BREAKING NEWS: SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI

Written By mpekuaji on Monday, November 26, 2012 | 10:51:00 PM

                                   

MSANII WA VICHEKESHO NA MUZKI SHARO MILIONEA  AMEFARIKI LEO HUKO MUHEZA TANGA KWA AJALI YA GARI AMBAPO NDUGU YAKE WA KARIBU SNURA MUSHI AMETHIBITISHA  TUKIO HILO  KWA NJIA YA SIMU .....

 

Naye Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Afande Constatine Masawe, amethibitisha  kutokea kwa  kifo cha  wa Sharobaro, kufuatia  ajali ya gari  katika kijiji cha Lusanga, Muheza, mkoani Tanga  ambako ndio nyumbani kwao.......

 

MPAKA SASA MWILI UPO  HOSPITALI TEULE   YA MUHEZA ,TANGA

           


Mpekuzi imepokea habari hizi kwa mstuko na masikitiko makubwa kwani nyota ya Sharo Milionea ndiyo ilikuwa inaanza kung'ara katika anga za muziki pamoja na matangazo ya biashara, akiwa kayapumulia pumzi mpya wa ubunifu na weledi katika kupeleka ujumbe kwa watazamaji ambao wakubwa na wadogo walimpenda.

Mola aiweke roho ya marehemu 
mahali pema peponi - Amina
TUTAZIDI  KUTOA  UPDATE:

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts