Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » MSHINDI WA MAISHA PLUS AKABIDHIWA KITITA CHAKE

MSHINDI WA MAISHA PLUS AKABIDHIWA KITITA CHAKE

Written By mpekuaji on Thursday, December 6, 2012 | 4:18:00 AM


Meneja wa Benki ya NMB, Tawi la Makao Makuu,Benadicta Byabato (kushoto) akimkabidhi mshindi wa Shindano la Maisha Plus Seasons 3,Bernick Kimiro kitita cha Shilingi Milioni 20 baada ya kuibuka mshindi katika shindano hilo lililomalizika juma lililolipita jijini Dar es Salaam.
Bernick Kimiro akifungua akaunti katika Benki ya NMB huku kaka yake  Abdulazizi Abasi (kushoto aliyesimama) na ofisa wa benki hiyo  wakifuatilia kwa makini.
Mtoto Amarisa Sevuri akiwa ameshika kitita cha Bernick Kimiro na Rachel Ndauka ambaye ni rafiki yake na Bernick Kimiro.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts