Mama mmoja mwenye umri wa miaka 26 ameusikitisha umma wa watu pale alipommwagia maji ya moto mtoto wake wa kike........
Mwanamama huyo bado anashikiliwa na POLISI kwaajili ya maelezo zaidi na wanaharakati wa kutetea haki za watoto wameonekana kulivalia njuga swala hili kwa kutangaza kumfungulia kesi mwanamama huyo.
Advertisement
hapa