Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » "SIPO TAYARI KUZALISHWA KWA SASA"...BABY MADAHA

"SIPO TAYARI KUZALISHWA KWA SASA"...BABY MADAHA

Written By mpekuaji on Saturday, December 29, 2012 | 1:48:00 PM


STAA wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha amefunguka kuwa hayupo tayari kuzaa kwa sasa.

Akizungumza kwa kujiamini, Baby Madaha aliweka wazi kuwa yupo bize sana na kazi zake za muziki na filamu hivyo suala la kunyonyesha litampotezea muda wake.


“We ubebe mimba sasa hivi, uilee halafu uje kunyonyesha, haya madili ya mjini yote yatafanywa na nani?” alihoji Baby Madaha na kuongeza:


“Mikakati yangu kwa mwaka 2013 ni kuhakikisha nafanya mapinduzi makubwa katika muziki wa Bongo Fleva na filamu.”


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts