Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , » UONGOZI MPYA WA BONGO MOVIE.......RAY ALAMBA SHAVU

UONGOZI MPYA WA BONGO MOVIE.......RAY ALAMBA SHAVU

Written By mpekuaji on Thursday, December 13, 2012 | 5:26:00 AM


Shilole akipiga kura

Mwenyekiti wa zamani wa Bongo Movies JB akimpongeza Jackline

Kutoka kushoto ni Chiki Mchoma, Ray na Jack Wolper

Irene Uwoya na Chiki

Hivi karibuni Bongo Movies ilipata viongozi wake wapya katika uchaguzi uliofanyika Leaders Club jijini Dar es Salaam.

Viongozi wapya waliochaguliwa ni pamoja na Vincent Kigosi aliyechaguliwa kuwa Mwenyekiti Mkuu, Irene Uwoya -Makamu wa Mwenyekiti , Chiki Mchoma Katibu Mkuu, Single Mtambalike aka Richie Richie alichaguliwa kuwa Mtunza Fedha Mkuu na Makamu wake kuwa Jackline Wolper.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts