Huu ni unyama uliotendwa na wanakijiji kwa wanafunzi wanne wa chuo kikuu cha UNIPORT kwa tuhuma za wizi wa simu ......
Wanafunzi hao walifikia hitimisho la maisha ya hapa duniani baada ya kupewa kichapo kikali na kisha kuchomwa moto.........
Mwenyezi mungu awapumzishekwa amani......
Post your Comment