Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , , » "MBWA WANGU HUNIONDOLEA MAWAZO NA KUNIFARIJI"....JOHARI

"MBWA WANGU HUNIONDOLEA MAWAZO NA KUNIFARIJI"....JOHARI

Written By mpekuaji on Wednesday, December 26, 2012 | 11:09:00 AM


STAA wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema kuwa anapokuwa nyumbani kwao marafiki zake wakubwa ni mbwa wake wawili ambao anawafuga kwa sasa.

Akiongea  kwa kujiamini, Johari  alisema kuwa mbwa hao huwa wanamsaidia pindi anapokuwa na mawazo kwani humchangamsha pale anapocheza nao.

“Unajua nawapenda sana mbwa wangu na sijui ni kwa nini nilichelewa sana kuwatafuta, mara nyingi hunifariji wakati ninapokuwa na mawazo mabaya,” alisema Johari. 


Mbali na mbwa hao, pia Johari alisema kuwa  siku mojamoja huenda kuchungulia katika bendi mbalimbali za burudani kwa ajili ya kuchangamsha akili yake.A


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts