Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , , » "MAKALIO YANGU HUNIFANYA NISIVAE NGUO ZA NDANI"......SNURA MUSHI

"MAKALIO YANGU HUNIFANYA NISIVAE NGUO ZA NDANI"......SNURA MUSHI

Written By mpekuaji on Friday, December 14, 2012 | 2:35:00 PM


 snura mushi.....
Huyu naye ni msanii wa flam aliyeamua  kuyanadi makalio  yake  katika  mitandao  mbali mbali.......Siku  hizi imekuwa  fashen.....Kibaya  chajiuza....!!! 
 ---------------------------------------------------

>>>“Tangu nikiwa mtoto nilikuwa na makalio na haya nimerithi kwa bibi yangu kwani alikuwa mnene sana.” 


>>>“Usumbufu ni mkubwa sana kutoka kwa wanaume, baadhi yao ukipita wanakuomba namba za simu.”


>>>“Natamani kupungua kidogo juu lakini siyo makalio kwa sababu hili ni pambo kwenye kazi yangu ya muziki.”

  >>>“Huwa napenda kuvaa magauni marefu kwa sababu huwa najiona ninapendeza, shepu yangu inaonekana vizuri na nimejisitiri pia.”

>>>“Sijui saizi kwa sababu huwa sivai nguo  za  ndani.”
 

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts