Get the latest updates from us for free

mas template
Home » , , » DIAMOND ALINASA PENZI LA PENNY WA DTV....NI BAADA YA WEMA, JOKATE,AVRIL NA WENGINE KIBAO

DIAMOND ALINASA PENZI LA PENNY WA DTV....NI BAADA YA WEMA, JOKATE,AVRIL NA WENGINE KIBAO

Written By mpekuaji on Thursday, January 24, 2013 | 11:52:00 AM


Diamond Platnumz ataendelea kuwa newsmaker kuliko msanii yeyote Tanzania.

 Hauwezi kupita mwezi bila kuibuka kitu kitakachomfanya aandikwe tena na tena. 

IMG_0027
Katika picha iliyowekwa kwenye ukurasa wa Facebook wa msichana aitwaye Skyner Ally kuna picha inayomuonesha Diamond akiwa amelala usingizi wa pono na msichana anayedaiwa kuwa ni mtangazaji wa DTV, Penny Mungilwa aka Vj Penny.

 Picha hii inajieleza yenyewe kwa pozi walilolaa kuwa ni wapenzi ama ni one night stand?
Diamond na Penny
Hata hivyo tulipowasiliana na Penny alisema hiyo ni picha iliyopigwa walipokuwa kwenye scene ya movie wanayoigiza pamoja ambayo amesema hana uhakika lini itatoka! 

Penny na Diamond  ndani ya  movie?????...!!? Ngoja  tuisubiri hiyo movie

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts