Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Diamond Atajwa Kuwania Tuzo za BET 2016

Diamond Atajwa Kuwania Tuzo za BET 2016

Written By Vuvuzela on Friday, May 20, 2016 | 8:46:00 PM

Diamond Platinumz anaendelea kupaa katika ulimwengu wa muziki kimataifa ambapo mwaka huu pia nyota yake imeng’aa kwenye tuzo kubwa za Black Entertainment Television (BET 2016).

Mwimbaji huyo ametajwa kuwania kipengele cha Best International Act: Africa akichuana na wasanii wengine nguli Afrika ambao ni pamoja na AKA kutoka Afrika Kusini, Cassper Nyovest wa Afrika Kusini Black Cofee wa Afrika Kusini, Yemi Alade wa Nigeria, Wizkid wa Nigeria, Mzvee wa Ghana na Serge Beynaud wa Ivory Coast.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts