Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Anaondoka Nchini Leo Kumwakilisha Rais Magufuli Mkutanoni Papua New Guinea

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan Anaondoka Nchini Leo Kumwakilisha Rais Magufuli Mkutanoni Papua New Guinea

Written By Vuvuzela on Friday, May 27, 2016 | 7:03:00 PM


Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kwenda Papua New Guinea ambako atamwakilisha Rais John Magufuli katika mkutano wa Wakuu wa nchi za Afrika,Caribbean na Pacific (ACP) ambao utafanyika kuanzia Mei 30 hadi Juni 01, mwaka huu.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts