Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga
Katika kipindi hiki, tumezungumza na Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga ambaye ameeleza kuhusu
nafasi na wajibu wa serikali kwa waTanzania waishio Diaspora.
Pia amegusia wajibu wa waTanzania hao kwa nchi yao na kujibu maswali mbalimbali
Karibu
Pia amegusia wajibu wa waTanzania hao kwa nchi yao na kujibu maswali mbalimbali
Karibu
Post your Comment



