Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Jux Atoa Single yake mpya ‘Wivu’

Jux Atoa Single yake mpya ‘Wivu’

Written By Vuvuzela on Friday, July 15, 2016 | 8:45:00 AM


Miongoni mwa mastar wa Tanzania wanaofanya Bongo Fleva ambao wana mashabiki wengi wa kike ni pamoja na Jux inawezekana labda aina ya muziki anaoufanya kuwagusa wasichana wengi.

Zimesikika single zake kadhaa ikiwemo Napata Raha,Nitasubiri ,Uzuri wako, Sisikiii na nyinginezo, sasa time hii ametusogezea hii single yake mpya iitwayo 'Wivu' imetayarishwa chini ya producer Bob Manecky.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts