Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Millen Magese Aanza kutafuta Mtoto kwa Njia ya kupandikiza (IVF)

Millen Magese Aanza kutafuta Mtoto kwa Njia ya kupandikiza (IVF)

Written By Vuvuzela on Monday, July 18, 2016 | 9:20:00 AM


Huenda Miss Tanzania wa zamani, Happiness Millen Magese siku za usoni kama Mungu akipenda akawa na furaha kama ya wanawake wengi duniani – furaha ya kupata mtoto. 

Ni kwasababu tatizo lake la Endometriosis limemuondolea matumaini ya kuwa mama lakini sasa inaonekana kuwa matumaini yamerejea, shukrani kwa sayansi ya IVF. 

 Kwa mujibu wa post aliyoiweka Instagram, huenda Millen akawa amefanyiwa mchakato huo May 13 na hivyo siku za usoni anatarajiwa kuwa mama. 
 
“Sijawa mama tayari lakini ninakikumbatia kila kitukilichoongezwa kwenye mwili wangu na kwenye maisha yangu kwa ujumla tangu May 13,” inasomeka sehemu ya post aliyoiweka inayomuonesha kwenye video akitembea kwa furaha kwenye ufukwe wa bahari




Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya