‘Ni kweli nataka nirudi darasani nisome lugha ya kingereza kwani ni
lugha ambayo imekuwa ikinipa changamoto nyingi mno, kwa sasa ndo niko
kwenye mchakato kwani unajua mwisho wa siku sitaki niaibike pale
nitakapokutana na wakina Beyonce kwahiyo hii ni heshima kubwa kwenye
muziki wetu wa Bongo Fleva’- Shilole
Post your Comment


