Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Shilole Aamua kurudi Darasani ili Asije kuaibika

Shilole Aamua kurudi Darasani ili Asije kuaibika

Written By Bigie on Wednesday, July 13, 2016 | 9:10:00 AM


‘Ni kweli nataka nirudi darasani nisome lugha ya kingereza kwani ni lugha ambayo imekuwa ikinipa changamoto nyingi mno, kwa sasa ndo niko kwenye mchakato kwani unajua mwisho wa siku sitaki niaibike pale nitakapokutana na wakina Beyonce kwahiyo hii ni heshima kubwa kwenye muziki wetu wa Bongo Fleva’- Shilole

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts