Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » BREAKING NEWZ...Hoteli ya KCC Kibaha Maili moja Yashika moto Mchana huu

BREAKING NEWZ...Hoteli ya KCC Kibaha Maili moja Yashika moto Mchana huu

Written By Vuvuzela on Wednesday, September 14, 2016 | 6:14:00 PM

Moto Mkali ukiendelea kuteketeza eneo la jiko la hoteli ya KCC iliyopo Kibaha Maili Moja, Mkoani Pwani mchana huu.

 Askari wa zimamoto bado wanaendelea na uzimaji wa moto huo. Haijafahakima bado kama kuna mtu aliyepoteza maisha au kujeruhiwa kutokana na tukio hilo la moto.

Moto ukiendelea kuteketeza Jengo hilo.Baadhi ya Askari wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji wakiendelea na kazi ya uzimaji wa Moto huo, uliozuka ghafla kutokea katika Jiko la Hoteli hiyo, Mchana huu.


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts