Wasanii wa bongofleva Shilole na Nuh Mziwanda waliwahi kuwa wapenzi
lakini wakaachana na baada ya hapo Shilole alionekana kutotaka hata
kusamiliana na Nuh japokua walifikia kupatanishwa.
Baada ya haya yote September 15 2016 wawili hawa wamepostiana Instagram kwa mara ya kwanza toka kuachana kwao, hapa chini ukibonyeza play utawasikia wakieleza ilivyokua mpaka wakapatana.
Baada ya haya yote September 15 2016 wawili hawa wamepostiana Instagram kwa mara ya kwanza toka kuachana kwao, hapa chini ukibonyeza play utawasikia wakieleza ilivyokua mpaka wakapatana.
Post your Comment



