Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Mziwanda na Shilole Wamaliza Tofauti zao...waelezea kuhusu kupostiana Instagram

Mziwanda na Shilole Wamaliza Tofauti zao...waelezea kuhusu kupostiana Instagram

Written By Vuvuzela on Saturday, September 17, 2016 | 7:37:00 AM

Wasanii wa bongofleva Shilole na Nuh Mziwanda waliwahi kuwa wapenzi lakini wakaachana na baada ya hapo Shilole alionekana kutotaka hata kusamiliana na Nuh japokua walifikia kupatanishwa.

Baada ya haya yote September 15 2016 wawili hawa wamepostiana Instagram kwa mara ya kwanza toka kuachana kwao, hapa chini ukibonyeza play utawasikia wakieleza ilivyokua mpaka wakapatana.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts