Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Trey Songz amzunguzia Vanessa Mdee na jinsi alivyomkubali

Trey Songz amzunguzia Vanessa Mdee na jinsi alivyomkubali

Written By Bigie on Sunday, September 25, 2016 | 8:08:00 AM


Trey Songz amefunguka kuhusu kufanya kazi na Vanessa Mdee wakati akijibu swali la shabiki.

Wakati akijibu swali hilo muimbaji huyo wa Marekani amesema wametengeneza wimbo mzuri pamoja.

“Vanessa is great, we got a great song together, has a great chemistry, she loves to laugh and joke even when we was performing having a good time,” alisema.

Kuna uwezekano mkubwa Vanessa na Trey Songz wakataka kutengeneza wimbo wa pamoja nje ya Coke Studio.

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts