Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Wolper Na Harmonize Wala Bata Serengeti

Wolper Na Harmonize Wala Bata Serengeti

Written By Vuvuzela on Tuesday, September 13, 2016 | 12:12:00 PM

WASANII wawili ambao ni wapenzi wanaogonga vichwa vya habari Bongo, Jaqueline Wolper na Rajab ‘Harmonize’ wikiendi iliyopita wamekula bata kwenye mbuga ya wanyama ya Serengeti. Wawili hao waliondoka Dar es salaam Jumamosi wiki iliyopita na kuelekea Arusha kwa ajili ya mapumziko ya wikiendi na baadae kuungana na Rich Mavoko pamoja na Raymond Jumatatu ya sikukuu


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts