WASANII wawili ambao ni wapenzi wanaogonga vichwa vya habari Bongo,
Jaqueline Wolper na Rajab ‘Harmonize’ wikiendi iliyopita wamekula bata
kwenye mbuga ya wanyama ya Serengeti. Wawili hao waliondoka Dar es
salaam Jumamosi wiki iliyopita na kuelekea Arusha kwa ajili ya mapumziko
ya wikiendi na baadae kuungana na Rich Mavoko pamoja na Raymond
Jumatatu ya sikukuu
Post your Comment



