Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Nuh Mziwanda Amtetea Ali Kiba...Adai anaroho nzuri

Nuh Mziwanda Amtetea Ali Kiba...Adai anaroho nzuri

Written By Vuvuzela on Sunday, October 2, 2016 | 5:18:00 PM

Nuh Mziwanda Ametetea uamuzi wake wakumpigia promo Ali Kiba Kwenye page yake ya Instagram ili watu wamvotie ashinde tuzo...

Ameandika Haya hapa kuwalengo wote wanaomponda:

Iam_mziwanda
"Eeeeh bana nasemaje nasaport anaenisaport msinipangie mana inaeezekana hamjui wema wa jamaa kwangu 'mchizi yupo na roho ya kusema SAWA haijalishi upo kwenye wadhifa gani katika muziki na ndio mana collabo zake nyingi anapiga na wasanii wachanga 'I salute u Ali n plz let us keep on voting to him Heshima irudi nyumbani"


Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts