Get the latest updates from us for free

mas template
Home » » Rais Magufuli ateua Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa

Rais Magufuli ateua Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa

Written By Bigie on Monday, October 3, 2016 | 4:32:00 AM


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli,  tarehe 02 Oktoba, 2016 amemteua Bw. Laston Thomas Msongole kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bima la Taifa (NIC).

Bw. Laston Thomas Msongole anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Edmund B. Mndolwa ambaye amemaliza muda wake.

Uteuzi wa Bw. Laston Thomas Msongole umeanza  tarehe 02 Oktoba, 2016.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam

02 Oktoba, 2016

Advertisement
hapa

Post your Comment

Habari Mpya

Popular Posts